Khaleed Mohamed aka TID
now ameamua kuwa kutoa ya Moyoni katika kila jambo linalomkera. Siku
moja baada ya kukaririwa akizungumzia juu ya issue yake dhidi ya Ali
Kiba, leo ‘Sauti ya Dhahabu’ hitmaker
amezungumzia juu ya suala lake la kutokuwepo katika listi ya wasanii
wanao-perform katika the biggest music concert in Tanzania Fiesta.
Kupitia his official facebook account TID ameandika status inayosomeka kama ifuatavyo:
“I wiSh I coUld maKe the Guy Who does the FieSta Listing be oN my SiDe some PeoplE are workin verY Hard to juSt makE me Look like Criminal so I can not be on List Lakini Mungu atanipa Better than Fiesta tho its Been 5 years am nt Part of It”.
“I wiSh I coUld maKe the Guy Who does the FieSta Listing be oN my SiDe some PeoplE are workin verY Hard to juSt makE me Look like Criminal so I can not be on List Lakini Mungu atanipa Better than Fiesta tho its Been 5 years am nt Part of It”.
No comments:
Post a Comment