Wednesday, September 19, 2012

HISTORIA YA NGUMI ZA KULIPWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI

 
Mkutano huo uliohudhuriwa na Marais wa Kamisheni hizo tatu Celestino Mindra (UPBC) Memba Muriuki (KPBC) na Onesmo Ngowi (TPBC) uliweka uongozi wa Shirikisho la ECAPBF kama ifuatavyo: Onesmo Ngowi (Tanzania) – Rais Celestino Midra(Uganda) – Makamu wa Kwanza wa Rais Memba Muriuki (Kenya) – Makamu wa Pili wa Rais Shaaban Ogola (Kenya) Katibu Mkuu wa ECAPBF Nemes Kaviehe (Tanzania)Mweka Hazina Mkuu wa ECAPBF Paul Chiwa (Uganda) Afisa Uhusiano na habari Mkuu wa ECAPBF.

No comments:

Post a Comment