Dwork's corner





Tuesday, September 11, 2012

NAIBU WAZIRI UJENZI AKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA LEO JIJINI DAR

 
 Naibu waziri wa Ujenzi Gerson Lwenge (kushoto) akitoa maelekezo kwa mkandarasi anayejenga barabara inayopita eneo la Jangwani,Kigogo na kuelekea kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha ubungo yenye urefu wa km 6.4 Injinia Abdul Kimaro (kulia kwa naibu waziri) leo wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi mbalimbali ya barabara jijini Dar es salaam.
 
 Mhandisi wa Miradi kutoka wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Ntije Nkolante (kulia) akimwonyesha Naibu Waziri wa Ujenzi Gerson Lwenge (aliyenyosha mkono kushoto) sehemu ya mwinuko ambayo iko kwenye matengenezo katika barabara iendayo Yombo Vituka yenye urefu wa kilometa 10.3 inayojengwa na kampuni ya Nyanza Roads Work leo jijini Dar es salaam.
Posted by Daniel .E. Simfukwe at 6:49 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

SWAGGA FIJHO ARTS CENTRE

SWAGGA FIJHO ARTS CENTRE

Dwork Corner search

Dworks Corner facebook page

Dworks social

Dworks@Twitter

Follow @dworkmby
Tweets by @dworkmby

Followers

Blog Archive

  • ►  2013 (2)
    • ►  February (2)
  • ▼  2012 (58)
    • ►  November (3)
    • ►  October (2)
    • ▼  September (53)
      • VIDEO MPYA YA IZZO BIZNESS KUANZA KURUSHWA LEO
      • HONGERA KAKA MKUBWA SUGU KWA KUPATA MTOTO WA ( S...
      • Dully Sykes NAWAPA NAFASI YA PEKEE MASHABIKI WANGU...
      • MARTIN KADINDA kwenye NIRVANA ya EATV hivi karibuni
      • MIKOBA YA KANUMBA SASA YARISIWA NA SETH BOSCO
      • MH SUGU ASHIRIKI KUMZIKA MAMA F. PESAMBILI
      • VURUGU KANISANI: ASKOFU MOKIWA ANUSURIKA KIPIGO KU...
      • MBEYA KUELEKEA KUWA JIJI KAMILI... UJENZI WA BARAB...
      • MH. SUGU ALIPOHUDHURIA MISA YA SHUKRANI YA MH. DR ...
      • WEMA SEPETU , AUNT EZEKIEL WAWASILI MBEYA
      • HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA JANA ARUSHA BAADA YA RUFAA ...
      • JAY Z NA BEYONCE WAKICHATI NA OBAMA 40/40 CLUB
      • Al-Shabaab waweka watoto mstari wa mbele kabla ya ...
      • MBELE YA KITUO CHA POLICE MSIGWA ATIKISA MJI WA I...
      • TUSHIRIKIANO KUOKO MAISHA YA MTOTO HUYU
      • MSIGWA AMLILIA MWANGOSI,ASIKITISHWA NA UKIMYA WA V...
      • Auto-Tune kamwe haito sepa (Meek Mill ft. Kirko Ba...
      • TID ALIA KUNYIMWA SHOW ZA FIESTA KWA MIAKA MITANO
      • Wachimba migodi warejea kazini
      • HISTORIA YA NGUMI ZA KULIPWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI
      • WAFANYABIASHARA WA UINGIZAJI NA USAFIRISHAJI MADAW...
      • KCB Yaipiga Tafu KCMC
      • DMX AMEMCHANA DRAKE TENA, HII NDIO STORI YENYEWE.
      • Tume ya waziri Nchimbi ya kuchunguza mauwaji ya Mw...
      • Manzese itakavyoonekana baada ya kukamilika kwa ba...
      • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDANGANYIFU ULIOBAINIKA KU...
      • MARTIN KADINDA AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NEW YORK
      • KIBONZO
      • Ikulu ya White House imethibitisha kifo cha balozi...
      • NEW TREACK :-Nako Feat Nikki wa Pili - Bado Ngware
      • Teenspot Magazine - Summer Issue 2012
      • MARTIN KADINDA azidi kupeperusha bendera ya Tanzan...
      • MAGUFULI AFANYA UKAGUZI BARABARA YA KILWA
      • MALEMA AITISHA MGOMO WA KITAIFA WA WACHIMBA MIGODI
      • MBEYA PRESS WAANDAMANA LEO
      • UBALOZI WA MAREKANI NCHINI LIBYA WATEKETEZWA MOTO
      • MBEYA CITY FC YAFUNGWA 1-0 NA SERENGETI BOY'S
      • Super J Official Release of 'You Don't Care".
      • NAIBU WAZIRI UJENZI AKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA ...
      • Jamii ya kimataifa yapongeza uchaguzi Somalia
      • MAANDAMANO YA WAANDISHI WA HABARI MBEYA YAMEZUIRIW...
      • HAYA NDIO MAAZIMIO YA KAMATI KUU CHADEMA LEO
      • WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA KESHO WATAUNGANA...
      • WASIFU WA RAISI MPYA WA SOMALIA
      • Weir ajiiandika shujaa wa London 2012
      • ZAIDI YA WAFANYAKAZI WA MIGIDINI 41200 WAANDAMANA ...
      • DMX KUDONDOSHA MZUGO MPYA MTAANI SEPT 11 ALBALM KU...
      • DIAMOND PLATNUM AWAPIGA CHINI WEMA NA JOKATE KAWEK...
      • P UNIT RELEASES NEW HIT TRACK “YOU GUY” FEATURING ...
      • HUU NDIO UFAFANUZI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALI...
      • UTAMU WA NGOMA INGIA UICHEZE
      • VIKAO VYA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI VYA ANZA KWA K...
      • ZOEZI LA KUFUKUA MIILI ILIYOFUNIKWA NA KIFUSI LAFA...
  • ►  2010 (51)
    • ►  December (2)
    • ►  November (1)
    • ►  October (3)
    • ►  September (9)
    • ►  August (5)
    • ►  July (16)
    • ►  April (2)
    • ►  March (2)
    • ►  February (10)
    • ►  January (1)
  • ►  2009 (29)
    • ►  December (5)
    • ►  November (8)
    • ►  October (13)
    • ►  September (3)

AudioPlayerWidget


Link Mbalimbali

Idadi ya wanao tazama hivi sasa ni

Total Pageviews

About Me

My photo
Mbeya, Tanzania
View my complete profile
My Feed Dialog Page

Post to Feed

Dworks Mby. Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.