Dwork's corner
Tuesday, September 11, 2012
NAIBU WAZIRI UJENZI AKAGUA MAENDELEO YA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA LEO JIJINI DAR
Naibu waziri wa Ujenzi Gerson Lwenge (kushoto) akitoa maelekezo kwa mkandarasi anayejenga barabara inayopita eneo la Jangwani,Kigogo na kuelekea kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha ubungo yenye urefu wa km 6.4 Injinia Abdul Kimaro (kulia kwa naibu waziri) leo wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa miradi mbalimbali ya barabara jijini Dar es salaam.
Mhandisi wa Miradi kutoka wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Ntije Nkolante (kulia) akimwonyesha Naibu Waziri wa Ujenzi Gerson Lwenge (aliyenyosha mkono kushoto) sehemu ya mwinuko ambayo iko kwenye matengenezo katika barabara iendayo Yombo Vituka yenye urefu wa kilometa 10.3 inayojengwa na kampuni ya Nyanza Roads Work leo jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment