Ikulu
ya White House imethibitisha kifo cha balozi wa marekani nchini Libya
Chris Stevens, katika shambulio dhidi ya ubalozi wa marekani mjini
Benghazi.
Rais Obama amelaani kile alichokitaja kuwa shambulio
la kuudhi ambapo wamarekani wanne waliuwawa. Huyu ni mmoja wa
walioshambulia ubalozi huo akiwa hapo na bunduki yake
Rais Obama amelaani kile alichokitaja kuwa shambulio la kuudhi ambapo wamarekani wanne waliuwawa. Huyu ni mmoja wa walioshambulia ubalozi huo akiwa hapo na bunduki yake
No comments:
Post a Comment