Monday, October 5, 2009

Popote kambi lakini hatari


Hawa watoto kama nilivyo wakuta mitaa ya Air Port hapa jijini Mbeya, Baada ya kuwa uliza maswari mawili matatu wakaniambia kuwa wanatafuta mabaki ya mikaa ili wauze na kupata kiingilio cha Video show . Je kweli wazazi na vijana wenzangu kama watoto hawa wange'liku wa nausimamizi mzuri siwange kuwa shuleni ? (Ili kuwa mida ya saa 4:30 asubuhi)

No comments:

Post a Comment