Friday, October 2, 2009



Haya ndio mambo ya vibajaj hapa mkoani . kama inavyo onekana maeneo ya mwanjela saivi ni hatari kwa watoto , kutokana na mwendo kasi wa madeleva wa bajaj .
Maeneo hatari kwa ajari ni Ilemi darajani na Makunguru kwani wana jiachia sana .

No comments:

Post a Comment