Dwork's corner
Friday, October 2, 2009
Haya ndio mambo ya vibajaj hapa mkoani . kama inavyo onekana maeneo ya mwanjela saivi ni hatari kwa watoto , kutokana na mwendo kasi wa madeleva wa bajaj .
Maeneo hatari kwa ajari ni Ilemi darajani na Makunguru kwani wana jiachia sana .
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment