Monday, October 19, 2009

Clouds fm yazindua frikwensi mpya shinyanga


Kulia ni mkurugenzi wa Clouds Media Group/prime time promotions Bw.Joseph Kusaga akipeana mkono na mgeni rasmi,Katibu tawala wa Mkoa wa Shinyanga Mh. William Nsanzugwanko mara baada ya uzinduzi wa masafa mapya ya Clouds 92.3 FM Shinyanga

No comments:

Post a Comment