

Wednesday, July 21, 2010
PIGO KUBWA KWA FAMILIA YA MR AGREY MWAMBUSI WA JIJINI MBEYA
Aliyekuwa mmiliki wa shule za St Agrey pamaja na chuo cha ualimu Agrey (Mr.Agrey Mwambusi) , alipata ajari alipo akiludi nyumbani kwake baada ya kutoka kwenye sherehe ndogo ya kumpongeza mwanawe Mr Mboka Mwabusi, kwa kuludi kwake salama kutoka Africa ya kusini aliko kwenda kushuhudia mechezo ya fainali za kombela dunia 2010 . katika ajali hii ime semekana kuwa watu wawili wali poteza maisha pale pale akiwemo mke wa marehemu Agrey Mwambusi ambaye amejeruhiwa vibaya sana

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment