Sunday, July 18, 2010

Dawa mpya ya kuzindua watu ICU.

Ukiangalia video ya wimbo wa robo saa wa Amini utaona mtu aliepoteza fahamu na juhudi zote za madaktari kumzindua zinashindikana mpaka anapokuja mpenzi wake na baada tu ya kumbusu jamaa anazinduka.Hii imenifanya nifikiri hamna haja ya kutumia mamilioni kwa dawa na mashine za kuzindua watu,tuajiri wavulana na wasichana warembo katika kila hospitali wawe wanazindua watu wanaopoteza fahamu.

No comments:

Post a Comment