Saturday, July 31, 2010

Kanye at FB - "Chain Heavy"/Freestyle?




Siku ya jumanne Rapper kanye West alitokeza makao makuu ya facebook nchini marekani na Kuperform mbele ya wafanyakazi wa kampuni hiyo, Jamaa alikuwa katupia Suti nyeusi, show hiyo inavyoonekana haikuwa Rasmi kiviile koz hakukuwa na stage, so kanye alipanda juu ya meza za ofisi hiyo na Kuperform ngoma zake mpya zinazohisiwa zitakuwemo katika album yake anayoipika ndani ya mji wa Hawaii, Wachambuzi wa maasuala ya muziki wanasema huenda hatua hiyo ya Kanye west Kuperform mbe… Continue

No comments:

Post a Comment