
Tuesday, September 14, 2010
KEISHA AJITOA TIP TOP CONNECTION
MANAGER WA KUNDI LA tIP TOP cONNECTION, MAARUFU KAMA BABU TALE LEO (13/09/2010) AMETHIBITISHA KUTOKA KWA MWANADADA KEISHA ALIYEKUA KATIKA KUNDI HILO KWA MUDA MREFU SASA. Awali taarifa zilianza kuenea mtaani baada ya keisha kufanya mahojiano na baadhi ya vyombo vya habari kuwa amejitoa kutokana na manager wa kundi yaani babu tale hasimamii vizuri kazi zake.
Babu tale amesema, keisha ameomba kujitoa na kundi likamruhusu aondoke, na kundi lao halito athirika kwa mwanadada huyo kuondoka kwani hiyo si mara ya kwanza, aliwahi kuondoka na akarudi mwenyewe kundini.
miongoni mwa wasani waliowahi kuondoka katika kundi kwa sababu tofauti tofauti moja wapo ikiwa ni madai ya kudhulumiwa mikwanja ni MB-dog, z-anto na sasa hivi keisha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment