Kiukweli kama mtu una fukia hatua ya kuvaa ngua miaka mitano tena , na nguo yenyewe ni aliyo pewa wakati wa kampeni za mwaka 2005 mpaka leo hii 2010 kwenye kampeni nyingine tuna hitaji kuji uliza mara mbili mbili . huyu bibi nili mkuta maeneo ya SAE loe aki kata majani kwaajili ya ng'ombe wake .
No comments:
Post a Comment