
Muasisi na muanzilishi wa kundi la RACKAS ( RACKA'S FAMILY ) linalo undwa na wasaani kama quick racka, chief racka na dowracka pammojana Mo racka ambaye amejitoa katika kundi hilo kwa sababu ambazo yeye mwenyewe hakuzisema.Morraca amesema amejitoa kundini lakini sababu atazifafanua zaidi sio muda mrefu.utapata updates mara tu taarifa zitakaponifikia
No comments:
Post a Comment