Padri akamatwa kwa wizi
Mtumishi huyu wa Mungu pia alikutwa na vifaa vya kompyuta ya mkononi ambavyo polisi wanadai kwamba ni vya wizi. Kutokana na kasheshe hili, polisi wamemfungulia mashtaka mawili ya wizi na yuko nje kwa dhamana. Kwa habari zaidi kuhusu kisa hiki
No comments:
Post a Comment