Miili ya wanafunzi wa shule ya msingi imezu ikichukuliwa na askali wa usalama barabarani ,watoto hao walikuwa wakivuka barabara akielekea shule ijapokuwa roli lililo sababisha ajali haliku wimama nahivyo kukimbia kusiko julikana huku miili ya watoto hao ikiwa imegawanyika vipandevipande ajali hiyo imetokea mida ya saa moja na nusu asubuhi
No comments:
Post a Comment