Thursday, December 2, 2010

SOKO KUU LA UHINDINI JIJINI MBEYA LA TEKETEA KWA MOTO

Wafanya biashara wakijaribu kuokoa mali zao kutoka madukani mwao

 Umati mkubwa ulio jitokeza kushuhudio tukio la moto
 Wafanya biashara wakikusanya vitu vidogovidogo vilivyo salia katika maduka yao
 Moto ukiendelea kuteketeza soko kuu la uhindini 
 Wanahabari kutoka jijini Mbeya waki muhoji mmoja kati ya askari wa kikosi cha zima moto

Gari la kikosi cha zima moto likifika katika eneo la tukio kwa kuchelewa na baada ya muda kidogo kuondoka kwenda kujaza maji kwa madai kuwa maji yamekwisha

No comments:

Post a Comment