Wafanya biashara wakijaribu kuokoa mali zao kutoka madukani mwao
Umati mkubwa ulio jitokeza kushuhudio tukio la moto
Wafanya biashara wakikusanya vitu vidogovidogo vilivyo salia katika maduka yao
Moto ukiendelea kuteketeza soko kuu la uhindini
Wanahabari kutoka jijini Mbeya waki muhoji mmoja kati ya askari wa kikosi cha zima moto
Gari la kikosi cha zima moto likifika katika eneo la tukio kwa kuchelewa na baada ya muda kidogo kuondoka kwenda kujaza maji kwa madai kuwa maji yamekwisha
No comments:
Post a Comment