Monday, December 7, 2009

NISIMANZI KUBWA KWA MASHABIKI WA MIALEKA


Edward Fatu kutoka visiwa vya Samoa almaarufu kwa jina la UMAGA ambaye ni bingwa wa zamani wa michuano ya mieleka amefariki dunia baada ya kupatwa na shinikizo la damu.

Inasemekana alishikwa na usingizi wakati akitazama televisheni Al-hamis usiku, alikutwa na mkewe masaa kadhaa baadaye akiwa hapumui huku damu zikimtoka puani na kuamua kumkimbiza katika hospitali ya jirani. Umaga amefariki akiwa na umri wa miaka 36.

No comments:

Post a Comment